Baba akiwa amempakata mtoto, Dhaka, Bangladesh.

Baba ni mwanamume aliyemzaa mtoto au anamlea.

Katika uzazi, baba ndiye anayesababisha jinsia ya mtoto kwa kumrithisha kromosomu Y (mtoto wa kiume) au kromosomu X tu (mtoto wa kike).

Saikolojia inaonyesha pia umuhimu wa kuwepo kwa baba mwenye pendo, akishirikiana na mama, katika kukua kwa mtoto.


Makala hii inatumia vifaa kutoka kwenye ukurasa wa Wikipedia Baba, iliyotolewa chini ya Creative Commons Attribution-Share-Alike License 3.0.